Kila sifa njema basi inamstahiki Mwenyezi Mungu, ambaye ana kila haki ya kusifika na sifa njema pasi na mwingine asiyekuwa yeye. Kwani hakuna jambo ambalo utaweza kulizungumzia ila utakuta ndani yake kuna kila sababu ya kuweza kumtaja na kumtukuza yeye katika jambo hilo.