bayyinaat

Qur`an
Tafsiri ya Qur`an
Surat Ikhlas na siri ya Kumpwekesha Mungu -2
Ni Sura maarufu, yenye fadhila nyingi sana kwa mwenye kuisoma, inatosha tu kuelewa kwamba Sura hii inachukua nafasi ya Theluthi ya Quran kutokana na daraja na cheo chake kama ilivyopokelewa kutoka kwa Mtume Muhammad (saww) aliposema:
Tafsiri Ya Surat Falaq
Katika aya hii tunafahamu ya kwamba husuda ni katika sifa mbaya mno, na ndio maana Mwenyezi Mungu ameiweka miongoni mwa mambo ambayo tunatakiwa tujikinge nayo. Imepokelewa riwaya kutoka kwa Imamu Sadiq as akisema “ hakika husuda humaliza imani ya mja kama ambavyo moto humaliza kuni ziwakazo”......
Tafsiri Ya Surat Nass
Hakika mwanadamu siku zote ni mwenye kuzungukwa na wasiwasi unaotokana na shetani, na mashetani hawa ima wawe ni katika watu au hata majini lakini ni kwamba siku zote wanajaribu kuitawala nafsi yake na kuiendesha. sasa katika sura hii.......