Binti ambaye aliyemsaidia Baba yake katika mapambano dhidi ya makafiri wa mji wa Makka, katika Bonde la Abutalib. Na kustahamili mazito yaliyomsibu Baba yake, akiwa ni mwenye umri wa miaka saba, au nane kwa mujibu wa hitilafu za riwaya, hadi alipofariki Abutalib...........