Wewe umetuamuru kushuhudia ya kwamba tuamini kuwa ni Mungu mmoja na Wewe ni mjumbe wake, nasi tukashuhudia. Kisha ukatuamuru jihadi, Hijja, funga, Sala na Zaka, nasi tukakubali. Ama yote hayo .........
Ibn Omar aliulizwa kunako Ali na Othman. Akasema: Ama kuhusu Ali musiniulize kuhusu yeye; Angalieni daraja yake kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w), kwani (Mtume) alifunga milango yetu Msikitini, na akaacha mlango (wa Ali)........
Miongoni mwa fahari na fadhila kubwa ambazo Shia na Sunni wanakubaliana nazo kuhusu Imam Ali (a.s), na kauli hizi za Mtume alizosema kunako yeye.......