Tarehe 3 Shaaban ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra (AS) binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
Enyi watu hakika sisi tumewaumba kutokana na mwanaume na mwanamke na tumewafanya mataifa na makabila ili mjuane, hakika mtukufu wenu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni mchamungu wenu zaidi, hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye kujua, mwenye habari."