Sasa jaribu pia kufikiria kwamba umeletewa kitabu ambacho unaambiwa kabisa kwamba kitabu hiki ni kizuri tu kwa nje, lakini mtunzi wake sio katika watu mahiri wala wenye elimu kubwa ya utunzi, bila shaka utajikuta kwamba ni mwenye kusoma kitabu kile kwa juujuu pia, na hata kama itatokea kuna nukta ambayo..........
Lakini sasa haya maisha ya kijamii pamoja na kwamba yana faida kubwa sana kwetu pia ndani yake kuna matatizo na changamoto ambazo zinaweza kuwa sababu ya migongano au hata vita baina ya jamii husika, sasa je, nini kinahitajika ili kuweza kuondoa hii migongano?.
Hapa ndipo ambapo tunakuta kwamba kuna haja ya kuwepo kwa...........
Ndugu zangu, kuwepo shetani katika ulimwengu huu ni jambo zuri, na ni kheri lakini uzuri au kheri inamrejea yeye mwenyewe (shetani). Na halikadhalika kila kilichopo (kama Malaika, majini binadamu, mimea, wanyama) bilashaka kuwepo kila kimoja katika hivyo vilivyotajwa ni kheri......
Kila sifa njema basi inamstahiki Mwenyezi Mungu, ambaye ana kila haki ya kusifika na sifa njema pasi na mwingine asiyekuwa yeye. Kwani hakuna jambo ambalo utaweza kulizungumzia ila utakuta ndani yake kuna kila sababu ya kuweza kumtaja na kumtukuza yeye katika jambo hilo.